Viwanja vinauzwa (eka 2) wami dakawa (umbali wa kama 0.5km kutoka barabara kuu ya dar-mwanza) bei ni 450,000 (laki nne na nusu) kwa kila eka. Havina hati ila vinatambulika serikali ya kijiji.
Kwa mawasiliano 0652528977
Habari!!!
Natafuta mtu wa kuendeleza project niliyoianza ya kilimo (eka 10, kilimo cha umwagiliaji, Dakawa-Morogoro).
Mpaka sasa 85% ya shamba limeshalimwa, liko katika hatua ya upandaji! (lengo ilikuwa kupanda mahindi na kuuza kama mahindi mabichi)
SABABU
1.Kuna hela (running cost)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.