Wanajf habari zenu,nlikua naomba kujua mbadala wa hizi dawa na mbolea maana huku kwetu inaonekana kua adimu kupatikana:-
1.fama gadi
2.DAP
2.CAN
3.LINKON
Nalima matikiti maji mtwara(masasi)
Wanajf habari zenu,nlikua naomba kujua mbadala wa hizi dawa na mbolea maana huku kwetu inaonekana kua adimu kupatikana:-
1.fama gadi
2.DAP
2.CAN
3.LINKON
Nalima matikiti maji mtwara(masasi)
Tunauza magari mapya na used yenye hali nzuri kwa bei nafuu
Kama unataka kuuza gari yako kwa haraka wasiliana na sisi tukusaidie kupata wateja kwa haraka
Pia kama unatafuta gari zenye hali kwa bei nafuu wasiliana na sisi
Tunapatikana Dar pia tunasafirisha mpaka mikoani
Namba zetu : call...
Jamani asanteni sana kwa mchango wenu ila nimejifunza kua hii ni moja ya tabia ya kuku mwanzo anakua anasuasua ila baadae analalia vizuri tu,maana tarehe 20 july 2017 alitotoa mayai yake yote 11 na hakuna lililoharibika wala aliloacha kutotoa
Habari wana jf nilikua nawaomba kitu kimoja kwa yyt mwenye muongozo wa katika ulimaji wa tikiti maji F1 sukari kuanzia siku ya kwanza unapanda mbolea ya kwanza mpk ya mwisho dawa za kupulizia yaan kuaanzia mwanzo mpk siku unavuna.
Ikiwa katika mtindo wa pdf itakua vizuri km hakuna pdf basi hata...
Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud...
Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.