Wale msiojua mnaoingia asala Kila wakati kununua taa za gari ako, mkombozi amepatikana ,
Okoa ghalama za kununua headlight hadi lakin tatu nakuendekea Kwa sh elf 30 tuh!
Hii huduma yakuondoa ukungu kwenye gari ako utafanyiwa popote ulipo ndani ya dar tucheki WhatsApp 0767603688
Na ukiitaji...
Makubaliano maalumu kwamba kwenye kila faida tutakayo pata baada ya kutoa ghalama za uendeshaji, ndipo tutakaa kukubaliana anachukua asilimia ngapi na chukua asilimia ngapi?!
Wakuu kama kichwa kinavyoeleza hapo juu muda mrefu nimekuwa na mpango wakufungua car wash pamoja na car body repair ambayo itakuwa na ubora na yenye kufanya kazi kwa ubora wa hali ya juu!
Nashukuru now nimefanikiwa kupata vitendea kazi vyote vinavyohitajika, tatizo kubwa kwa sasa ni kupata mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.