Salamu kwako nchi yangu mpendwa Tanzania Lengo la kuandika barua hii ni kukupa pole na machafuko yatakayo tokea kabla ya muafaka wa serika tatu au mbili ktk katiba yako takatifu inayo jadiliwa na watu wenye uchu wa madaraka wenye kujali matumbo yao binafsi na si ya watu...
kama ni mfatiliaji mzuri wa bunge la katiba hawa viongozi we2 hawana maelewano na tusipo angalia itatengenezwa katiba ya chama fulani na si ya nchi kama yalivyo matakwa ya wanzania,ni bora hiyo katiba wahusishwe wasomi wa vyuo vikuu kutoka Zanzibar na Tanganyika wasio fata hitikadi ya chama...
mi naona tukiruhusu muundo wa serikali 3 vitu vitapanda bei zaidi ya hapa maana hiyo serikali ya tatu uchumi wake itakuwa inategemea Tanganyika na Zanzibar na pia tutakua 2na fanya chaguzi tatu. je, hiyo pesa za uchaguzi zitatoka wapi ya hiyo serikali ya tatu kama sio kutegemea bajeti za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.