Recent content by Platinum 5

  1. P

    Hii ni aibu UDOM

    Msifanyie mzaha, huyo aliyezungumzia suala la ratiba hatanii huyo jamani, wiki mbili zilizopita wafanyakazi wenzetu ambao ni walimu walimlalamikia DVC-ARC, hakuna ratiba inayoeleweka. akaahidi kufanyia kazi, iliyopo inachanganya sana, inagonganisha vipindi kwenye darasa moja kwa wakati mmoja...
  2. P

    Nape utuambie ukweli je hii picha inakuhusu? kama ndiyo kadi yetu ikowapi ya CCJ??

    picha inaweza kuwa ya kweli, lakini mwana ni kweli alichukua kadi ya CCJ? tupeni dondoo zaidi, kadi ya CCJ ni namba ngapi?:confused2:
Back
Top Bottom