Msifanyie mzaha, huyo aliyezungumzia suala la ratiba hatanii huyo jamani, wiki mbili zilizopita wafanyakazi wenzetu ambao ni walimu walimlalamikia DVC-ARC, hakuna ratiba inayoeleweka. akaahidi kufanyia kazi, iliyopo inachanganya sana, inagonganisha vipindi kwenye darasa moja kwa wakati mmoja...