TATIZO KUBWA – WITO WA HAKI NA UWAZI KIFEDHA TANZANIA
Kampuni ya Peachy Village Company Limited, yenye makao yake makuu Dodoma, Tanzania, imejikuta katika hali mbaya kifedha baada ya kufunguliwa kwa akaunti za benki zisizo halali kwa jina lake. Tukio hili limeleta hasara kubwa, likiathiri...
Shukrani kwa ushauri mzuri sana , tutakua tayari endapo tutajibiwa rufaa na kuona namna gani LAKINI KILIO CHETU KIKUU NI UKIMYA WA TAASISI INAYOPASWA KUJIBU RUFAA KISHERIA NA KWA MUDA ULIOWEKWA LAKINI ZAIDI YA MIEZI MIWILI IMEPITA BILA YA MAJIBU HA RUFAA YETU WALA ENFORCEMENT NA NDIO...
Nashukuru kwa ushauri mzuri pia tunasubiri majibu ya rufaa
CRDB BANK PLC NA BANK OF TANZANIA wameshafanya investigation natumai wamewagundua wahusika na wamewachukulia hatua.
Kaka hao ndio hawana msaada kabisa na namba zao ninazo na nishafika hadi pale Makole ofisini kwao Dodoma , wale wengi wanakua watendaji na mabibi maendeleo ya jamii wanadeala na case za kawaida sana hizi hawataki hata kusikia
Kindly, read my post again. I've already narrated regarding this and also I attached documents just go through em , you'll get something to learn and that's why Bank of Tanzania determined in favor of us, you got me my brother just read that determination attached ait.
Kampuni yetu , HAIKUWAHI KUFUNGUA ACCOUNT KWENYE BENKI YA CRDB, LAKINI CRDB WALIFUNGUA ACCOUNT NA WAKAPITISHA PESA NA ZIKATOLEWA NA HAWATAKI KUWAJIBIKA, NA BENKI KUU YA TANZANIA INAWASAIDIA KWA SABABU KIMYA CHAO NI KUKIUKA SHERIA NA TARATIBU KATIKA FINANCIAL CONSUMER PROTECTION
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.