Recent content by Pjjmh

  1. P

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kuweka akiba kwenye mifuko ya uwekezaji

    Kwa maelezo yao wanawekeza katika hisa na hatifungani Lakini bado najiuliza kwa nini mm nisiweke pesa huko direct?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kuweka akiba kwenye mifuko ya uwekezaji

    Lengo langu ni milioni 100/=
  3. P

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kuweka akiba kwenye mifuko ya uwekezaji

    Nimewaza sana ndugu zangu imefika mahala nimeona niwashirikishe ili mnishauri Katika pitapita kujifunza maisha kuna sehemu jikakuta andiko Ukiwekeza 100k kila mwezi kwa miaka 15 katika mifuko ya uwekezaji unatapata zaidi ya 50m Sasa nikawaza mbona hii mimi naweza hata 200k kila mwezi...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Je, ikitokea tukaachana na mwanamke mali tutagawana hali tuliwa hatukufunga ndoa?

    Mimi ni nimeishi na mke wangu kwa miaka 8 I mean hatukufunga ndoa na tumefanikiwa *kujenga nyumba *kuwa na biashara ndogo ya uwakala *Kupata watoto watatu Ishu iko hivi mwaka mmoja uliopita nilianza kuhisi mahusiano kupoteza mwelekeo, hadi sasa mwanamke anadai tuachane akafanye maisha yake...
Back
Top Bottom