Yaani iko hivi!
CCM, haina kanda ambako inapendwa, na wao wanalijua hili, kupita kwao ni wao kuwa washirika wa Ibilisi, na kazi za ibilisi zinajulikana bayana
Kuiba, kuuwa, unyang'anyi na dhuluma, hayo ni baadhi tu ambayo shetani huwatumia wafuasi wake