Recent content by pius majagi

  1. P

    kuna vitu nahisi au ccm wanajifanya hawajui kuhusu LOWASSA NA WANANCHI

    Kajichafua mwenyewe nac watu ndio walio mchafua......kibaya chajitembeza na kizuri kinajiuza.......mlichonga kwa ccm kuwa wanasomba watu kumbe ukawa jana walisomba nini kwenye yale maroli....tour's.....min bus zote zile zilibeba vinyago cyo....na dakika ya mwisho wameelezwa wakasome Irani kwenye...
  2. P

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Pia nipeni mfano wa taifa japo moja ambalo limefanikiw kutoa elimu bure toka elimu ya awali mpaka chuo kikuu.....mnatudharau sana hata sie wasomi kwakutufanya wapumbuvu tusio kuwa na uelewa.....ovyo kabisa ...
  3. P

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Mpaka aibu mnaona wana ukawa.....kiukweli mmepwaya sana.....chama kimeonyesha hakina dira leo mnatueleza tukasome Kwenye wepsayte hivi mwananchi wakawaida huo mda anautoa wapi nani wangapi wanatambua au wanauelewa wamatumizi ya mtandao hiyo....kiukweli mmetia aibu ya mwaka....
  4. P

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Mbona nikikundi cha vijana wachache Tena inaonyesha waliandaliwa mahususi kwa kazi hiyo...ictoshe hata mchukua vidio aliganda sehem moja tu palipo navijana hao....mwisho ujue kila chama kinauwezo wakuandaa watu kama hao hivyo bac napenda shauli wanasiasa wasipende tumia vikundi ili kuonyesha...
  5. P

    Naomba mnijuze kuhusu huyu dada mahiri wa uchambuzi anaeitwa Nusrat Hanje

    Mtanunua waandishi na baadhi ya vombo vya habali ambavyo avitumii taluma yao vyema katika kutuelimisha wananchi katika kipindi hiki kigumu kwetu lakini kamwe hamto weza wanunua wananchi wa taifa zima.....japo kuwa ni kweli tunahitaji mabadiliko lakini c hivyo mnavyotaka nyinyi kwakutufanya sie...
  6. P

    Naomba mnijuze kuhusu huyu dada mahiri wa uchambuzi anaeitwa Nusrat Hanje

    Mmeonesha zahiri namna mlivyokuwa mmejipanga chadema kupeleka watu wenu kwenye mjadala....mbaya zaidi hata waongozaji walijisahau nakuonyesha zahiri wako mlengo furani wa chama hasa pale walipokuwa wakiongea watu wa upande frani walionekana kuwadhalau......kweli mwaka hu mnakazi sana ukawa...
  7. P

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Tatizo c kuongea makabila...tatizo hapa ni pale mtu anapojisahau kuwa c mfuac wa chama kile tena nakujikuta matendo yake yote namisemo yake ni ile inayotumiwa na chama A bila kujua yeye sasa nichama B...nisawa na leo mgombea wa Chama A kutumia people's tena mbele ya hadhila..bila shaka watu...
  8. P

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Mkiona mtu mpaka anajisahau nae anaimba areselema na akina mama wanaitikia aleja ndio ujue magufuli ni shida...japo nyuso zao azionyeshi zinamkubali nayo nafsi inamuumbua pale anapojikuta akiimba nyimbo za tingatinga....mmasai na kisukuma wapi na wapi......
  9. P

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Kweli wangonjwa hustahili faraja lakini kwa hawa wa ukawa do! Nisawa nakumraghai mgonjwa....ukawa poleni sana yote haya mliyatafuta na kuyakaribisha wenyewe poleni sana.
  10. P

    Tafadhali Lowassa: Achana na 'active politics'; Bakia mshauri wa Taifa; furahia 80% yako

    Ahaaahaaahaaa....tunaposema ukweli watu wanaumia sana....lakini ndio ukweli huo hatuna namna kuufanya kuwa uwongo..mzee kachoka..
  11. P

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Pia cjaona cha maana alichotuelezea watanzania japo nikupitia kwa akina mama....
  12. P

    Mbinu mpya ya CCM imegundulika

    Yamekuwa hayo tena......wakihama ccm safi...lakini wakihama chadema wanakuwa waroho wamadaraka????????
Back
Top Bottom