Recent content by Pius Dominick

  1. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Ni Kweli lakini natumia kama alama ya kufika pale. Ukipaona ni tofauti sana. Asante kwa angalizo
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Angalia video yake ikiwa na barabara yake
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa kwa Bedui (Tegeta A) Goba karibu na kanisa la Wasabato

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 5 tukutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38) Kuna barabara unafika na gari bila tatizo Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Nilikuwa na hekaheka za mashamba ambako networks zilikuwa taabu
  5. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kipo kama sambusa hivi. Upande wa barabara ndo kina mita 16 na ule wa mwisho yaani nyuma ni 22. Marefu ni mita 38
  6. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Yes, Tegeta A kanisa la Wasabato mita 10kumi baada ya kulipita kanisa mkono wa kushoto kinapakana na ukuta mpya unaojengwa yaani baada ya ukuta huoo
  7. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Unachekesha wewe!!
  8. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    0658504155
  9. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    ni wewe tu mkuu ili mradi tupate hela ya sikukuu
  10. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kipo salama sana na changamoto za maji. Documents ni za serikali za mtaa. Kuna bomba la maji. Changamoto yangu ni issues za January kwa watoto
  11. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Ndiyo ni mimi hakuna dalali hapa
  12. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Tuwasiliane 0658504155 au 0758777667. Nilikinunua mwaka jana 25m mkuu.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  14. P

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alitelekeza SGR ya Tanga-Arusha-Musona ili kupendelea Mwanza na Chato

    Hii ni Tanzania na wala Chato haiko kwenye mradi wa SGR! JPM ndiyo mwamba kuwahi kutokea. Kwa mara ya kwanza Tanzania iliingia kwenye flyovers, SGR, Ndege za kisasa na mambo mengi lukuki. Mtajenga tu sanamu yake bila wewe kutaka. Tatizo lake aligeuza meli ghafla mno kabla ya kuwaanda abiria...
Back
Top Bottom