"kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake" .
Hii uliipata wapi? Weka hapa hotuba yake tuone atachosema ni nini kipya? Si kuomba mikopo tu na uwekezaji?
Paskali
Hiyo karma ni imani yako na mimi nina yangu. Tuachane nayo na tuangalie sheria inasemaje. Karma ni imani ya Wahindu ambayo haina mantiki wala mashiko. Hata muuaji anaweza kuiambia mahakama kuwa ni karma imemtuma kuua kwa hiyo yeye hana makosa!! Wewe Paskali kama wakili msomi unaweza...
Nakubaliana nawe 100%
Ila najua siku za nyuma matukio kama haya yalifichwa na kusahauliwa
Mfano, pale karibu na hospitali ya Ibrahim Haji watu walikufa hadi leo kimyaaaa
Kuna kolamu na makala katika magazeti utaona dhahiri hapa vigogo wametoa vibunda vya noti. Ni pamoja na makampuni ya binafsi na mashirika na wizara.
MSHIKO TU !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.