mchumba wako vp? kwann uingei kwa mtu mwingine mpaka mmefikia hatua za kupima ! hupo inamaanisha mchumba wako bac. So Ushaur muhamishe hapo alipo ili muenjoy.
Huyo wa kwanza mwambie akalale mbela,it obvious that ameshindwa huko alikotoka ndo maana amejirudisha kwako.
My advice.......proceed with the second guy.
Mara nyingi wanaume akianza chini na mwanamke , anakula naye shida ugali na ndimu then mambo yakibadilika akishafanikiwa , anamiliki nyumba ,gari anaona yule mwanamke hafai tena amezeeka na hafananii kuishi ktk nyumba hiyo ndo anatafuta anayefaa kuishi naye na kutoka naye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.