Recent content by Pinkish

  1. P

    Chuchu zinauma sana, nifanyaje?

    Kila unapompa mtoto anyonye ndo nafuu yako. Weka ktk kikombe subiri ipate vuguvugu. kwakua umesema umezaa kwa kisu ngoja ipate vuguvugu unywe itatoa maziwa mengi.. pole
  2. P

    Chuchu zinauma sana, nifanyaje?

    Pole sana, ila nikawaida hata dada yangu ilikumta kama hivo.. chukua biringanya chemsha unywe maji yake yakiwa bado yamoto, maziwa yatatoka vizuri na usiogope kumnyonyesha mtoto kila unapomnyonyesha ndo unapopata nafuu.
  3. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Asante ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri.. namuomba sana mungu alijalie nilee vizuri na nizae salama,Thank you alot
  4. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Asante sana nitafanya hivo haraka.
  5. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Asante kwa ushauri wako nitafanya hivo
  6. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Hapana sikuwahi kuchoma sindano yoyote
  7. P

    Mwanamke zingatia haya ni kwa faida yako

    Thank you mungu akubariki
  8. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Amin asante.. waliniambia tu mimba ilishindwa kukuwa.
  9. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Asante sana nitafata ushauri
  10. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Nilikwenda spitali walinambia tu mimba ilishindwa kukua that's all
  11. P

    Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

    Habari zenu wana jamiiforums. Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa msaada wenu, mimi nina miaka miwili katika ndoa yangu sikupata mtoto lakini nilijaribu kusoma ushauri wenu tofauti tofauti kuhusu jinsi ya kupata mimba, nashukuru nikafanikiwa kupata ujauzito mwaka huu mwezi wa kwanza...
Back
Top Bottom