Pole sana, ila nikawaida hata dada yangu ilikumta kama hivo.. chukua biringanya chemsha unywe maji yake yakiwa bado yamoto, maziwa yatatoka vizuri na usiogope kumnyonyesha mtoto kila unapomnyonyesha ndo unapopata nafuu.
Habari zenu wana jamiiforums.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa msaada wenu, mimi nina miaka miwili katika ndoa yangu sikupata mtoto lakini nilijaribu kusoma ushauri wenu tofauti tofauti kuhusu jinsi ya kupata mimba, nashukuru nikafanikiwa kupata ujauzito mwaka huu mwezi wa kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.