Recent content by pilipili kichaa

  1. P

    Polepole: Kigogo aliyetaka kumshauri wa Rais amenyimwa nafasi ya kukutana na Rais

    Huyu huyu mstaafu ana nini? Yote anayolipwa bado haridhiki? Ufisadi aliofanya akiwa madarakani hata hajutii na anaendeleza! Shame!
  2. P

    Fasheni ni kila ovu kulinasibisha na abduli mtoto wa samia

    Wewe ndie abdul au? au wewe ndie yahaya? Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
  3. P

    Kosa kubwa la Polepole ni kuongelea CCM kuliko taifa

    Mleta mda wewe ni mzima kweli? kumbuka ccm ndio imeshika dola! ccm ndio inaongoza Taifa kwa miaka 65 sasa! Raslimali za nchi wanaozitapanya wapendavyo ni hawa ccm! Ufisadi uliotamalaki nchini ni hawahwa ccm! Urekaji, uuaji na dhuluma zote ni hawahawa ccm! sasa ulitaka oongelee Taifa lipi bila...
  4. P

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Achaneni na huyu kilaza. kwanza 'mingada' ilishamuharibu medula O'blangata!
  5. P

    HIVI TUMEKOSA KABISA KIONGOZI MZALENDO ANAEWEZA KUWEZA KISIKI KWA YANAYOENDELEA???

    Wazee ni Warioba na Butiku tu labda na Ulimwengu. Hatuna mwingine zaidi ya madali watupu!
  6. P

    Sarakasi: Tarehe ya kusikiliza Kesi ya Tundu Lissu Mahakama Kuu yabadilishwa, Sababu hazikutajwa

    Tuendelee kuwashtaki hawa watu kwa yule Hakimu wa Haki na haki itatendeke
  7. P

    Tajiri Rostam kakatazwa asiongee. Je, Polepole anaelekea kushinda hili game!?

    CCM wanajua akiongea udalali wake utazidi kuanikwa!
  8. P

    Kwanini Rostam huwa hawaamini Machawa? Mambo yake huyatolea ufafanuzi yeye mwenyewe humtumi Chawa yoyote!

    Rostam ni dalali wa raslimali za nchi na ili afanikiwe ndio maana ni chawa papa!
  9. P

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Sisi tuendelee na; Kubambikizana kesi za ajabu! Kuuza raslimali za Nchi Kudumisha ufisadi na wizi! Kutekana na kuuana
  10. P

    YEMEN; Wahouth leo wanazika mawaziri waliouawa katika shambulio la Israel

    Vilijiinua sana kuwa vinaweza kupambana na mwamba! sasa vinagombea ma-bikra huku vikiogelea kti mito ya pombe!
  11. P

    GE2025 Jimbo la Gairo wasema 'Samia mitano tena' Shabiby awauliza kama kuna kero wasema 'Hakuna'

    Eti hakuna shida Jimbo la Gairo! Kweli ccm hapana, huu sasa mzaha:cool:
Back
Top Bottom