Recent content by Pierenjanka

  1. P

    Sumaye akihamia CHADEMA

    Mtawasomesha vijana wa vyuoni???!thats crazy!vijana wa vyuoni wameshasomeshwa na ccm,hata kama ni kwa shida!mbona chadema wabagudhi,so usipotoka chuoni huwezi kwenda jimboni??ah kumbe chadema wajanja sana,wana2tumia ujinga wa watanzania kupata madaraka!wanajua watanzania wengi ni wajinga...
  2. P

    Sumaye akihamia CHADEMA

    Unauliza kama sumaye anafaa kuwa rais?fisadi?mzima wewe??!fisadi anadhibitishwa na chombo kimoja tu,mahakama!kama anafaa kuwa rais waweza endesha opinion poll kama walivyofanya wakenya!si kuwauliza wanaforum!!!hatutaki hoja za kinafiki na za kitoto!!!
  3. P

    Tanzanians tuache Unyerere

    Haya ndo mawazo ambayo julian assange anapambana nayo!2nahitaji dunia ya uwazi zaidi ambayo jamii zinamwaga mambo yao hadharani kweupeeee including governments,political parties and individual citizens,KWA NINI KUOGOPANA??KWA NINI KUOGOPA?tafuta kitabu cha Tony blair uone alivyomchana mwana...
  4. P

    Chadema kuajiri wanajeshi nini maana yake?

    Washabiki wa chadema wanaboa sana!wanajiona wao ndo wanauchungu wa nchi kuliko mtu mwingine yeyote!kumbe ni wanafiki na mafisadi wakubwa,kama baba lao la uongo na TAPELI la kimataifa MBOWE!siwezi kufuata anachosema tapeli huyu hata nikiambiwa naenda kuzimu!!hana tofauti na KIBWETERE
  5. P

    Tanzanians tuache Unyerere

    Kinachotokea now ccm watu wanadhani chama kinaanguka,siyo kweli!!hayo ni mawazo ya watu ambao wamezoea kukandamizwa,and hawapo used na freely watu kama jamii kujieleza kile wanachoamini ndani ya jamii!!watu wengi bado wanadhani watu kukaa kimya na machungu moyoni huku wakiumizwa ndo siasa bora...
  6. P

    Nimekuja kuwakamataaa

    Am a man or kijana u can say
  7. P

    Nimekuja kuwakamataaa

    Bingwa hizo nguys&ngirls ni makusudi tuuu!sorry umeshindwa kuusoma mchezo!asante kwa ukarimu wako
  8. P

    Nimekuja kuwakamataaa

    Helo nguys&ngirls!2po pamoja sana katika kuitetea our lovely Tanzania!2po pamoja sana katika kumake sure miili yetu inaish as long years as possible!meeeeeeen ULEVI NOMA,UNALOSTISHA!!!GO ASK MY DAD ATAKUAMBIA
Back
Top Bottom