Mtawasomesha vijana wa vyuoni???!thats crazy!vijana wa vyuoni wameshasomeshwa na ccm,hata kama ni kwa shida!mbona chadema wabagudhi,so usipotoka chuoni huwezi kwenda jimboni??ah kumbe chadema wajanja sana,wana2tumia ujinga wa watanzania kupata madaraka!wanajua watanzania wengi ni wajinga...
Unauliza kama sumaye anafaa kuwa rais?fisadi?mzima wewe??!fisadi anadhibitishwa na chombo kimoja tu,mahakama!kama anafaa kuwa rais waweza endesha opinion poll kama walivyofanya wakenya!si kuwauliza wanaforum!!!hatutaki hoja za kinafiki na za kitoto!!!
Haya ndo mawazo ambayo julian assange anapambana nayo!2nahitaji dunia ya uwazi zaidi ambayo jamii zinamwaga mambo yao hadharani kweupeeee including governments,political parties and individual citizens,KWA NINI KUOGOPANA??KWA NINI KUOGOPA?tafuta kitabu cha Tony blair uone alivyomchana mwana...
Washabiki wa chadema wanaboa sana!wanajiona wao ndo wanauchungu wa nchi kuliko mtu mwingine yeyote!kumbe ni wanafiki na mafisadi wakubwa,kama baba lao la uongo na TAPELI la kimataifa MBOWE!siwezi kufuata anachosema tapeli huyu hata nikiambiwa naenda kuzimu!!hana tofauti na KIBWETERE
Kinachotokea now ccm watu wanadhani chama kinaanguka,siyo kweli!!hayo ni mawazo ya watu ambao wamezoea kukandamizwa,and hawapo used na freely watu kama jamii kujieleza kile wanachoamini ndani ya jamii!!watu wengi bado wanadhani watu kukaa kimya na machungu moyoni huku wakiumizwa ndo siasa bora...
Helo nguys&ngirls!2po pamoja sana katika kuitetea our lovely Tanzania!2po pamoja sana katika kumake sure miili yetu inaish as long years as possible!meeeeeeen ULEVI NOMA,UNALOSTISHA!!!GO ASK MY DAD ATAKUAMBIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.