Recent content by PharaohMtakatifu

  1. PharaohMtakatifu

    Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

    Ahadi Gani unatoka job Unakuta kadi3 za ufadhiri? Mimi may hii Ufadhiri wa kanisa kianzio200,000/= Za harusi3 ndani ya mwezi mmoja na Moja ya hiyo ni akamati kianzio150,000 kama kamati🙆🙆🙆
  2. PharaohMtakatifu

    Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

    Changia mkuu. Kutoa ni moyo kujumrisha ni Figo chagua moja
  3. PharaohMtakatifu

    Spika wa Bunge la Tanzania Tulia Ackson ziarani nchini Misri

    Wanatuona Nyani tu×7 🙈🙈🙉🐒🐒
  4. PharaohMtakatifu

    Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

    Yawezekena ni kweli hii.watoe Tamko tu watu watalipa kuliko kukaa kwenye sintofahamu hii
  5. PharaohMtakatifu

    Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

    Hajielewi huyo. Matangazo Kila korido yanasema huduma ya mama mjamzito na mtoto ni Bure halafu Bado uuziwe tukisema tuonekane tunapenda vya Bure!! Huu ni ugonjwa sio bure
Back
Top Bottom