Kwakweli ifike mahara CDM wasome nyakati, kipiñdi hiki siyo cha kusimamisha mtu kwenye nafasi ya urais ili mradi tu hapana, nashindwa kuelewa kama nikweli watu wanne zaidi wameonesha nia ya kugombea urais ndani ya CHADEMA(CDM) ambao ni MBOWE, MSIGWA, NYARANDU, LISSU nk tusitegemee upinzani tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.