Equity jaman ndo mambo yao, huu uchunguz BOT wachukulie siriazi, yani Tanzania wanafilisi wafanya biashara wanacheza na hesabu na mikataba hadi mfanya biashara akate tamaa, kuna huyo Isabela equity tz anatumia kila njia iwe polisi, iwe nguvu ya watu wamahakama, na kama alivokamatwa wa Uganda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.