Mkuu naomba kujua Faida za sumu NYUKI pale mtu anapoumwa na nyuki nasikia ile sumu ina Faida nyingi kwa binadamu Naomba kufahamu zaidi faida za sumu ya nyuki
Nina maandiko mengi sana na ningeweka hakuna wa kunishinda tatizo JamiiForums wanaripa washindi kwa Fedha za TANZANIA. Mimi huwa sipokei Tshs. Malipo ninayopokea ni pound na dollar tu. Maandiko yangu yapo kwa kiingereza na JamiiForums wanataka kwa kiswahili na mie kiswahiri kinanipa shida
Kijana Lumola utanisamehe Kiswahili yangu ni ya shida kidogo ila mimi Kagyabukama ndio muhaya wa kwanza kushare story kwa waheshimiwa Kwahiyo inabidi unipe shukrani za tofauti na watu wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.