Ndugu mkopo unapewa tuu,, sema unaeza pungua kulingana na koz,, coz kila koz ina maxmum loan yake n mambo ka special faculty pia ya inaeza panda au shuka
Muulize vizur atakua kakudanganya coz toka mwez wa sita mpaka mwez wa nane siku anaduu alikua hajaingia bleed, may b ana matatizo,, coz ukiwa normal bleed must kila mwez...
Ya ukifika chuo unaweza badilisha n kuhusu mkopo,, ata ka utabadilisha utakufwata huko huko uliko even f utahama chuo kbsa,, chuo kingine utachoenda mkopo wako utakufwata...
Kwa hapa dar,, tupo maeneo ya mabibo mwisho,, na kunduchi kituo kinaitwa mtongani...
Pia kwa kuondoa usumbufu unaweza piga au text namba tajwa hapo juu na utaketewa mpaka ulipo..
Hv ukichaguliwa na tcu kusoma kozi flan ktka chuo flan den ukafika ktka hcho chuo na kubadili kozi bila tcu kujua ukija kumaliza unapewa chet chako kama kawaida???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.