Unaweza kusoma ukawa mjinga kabisa,sikushangai kwa sababu akili si zako,kama watanzania tunaowategemea walisaidie taifa huko tuendako ndo wenyeakili kama zako,basi tunamatatizo,eti tindi lissu amfunika Rais,Khaa,ulitaka Rais asisali hafanyi kazi kwa matukio kama nyie
Wanazunguma tu ilani inayotekelezwa ni ya ccm,na serikali iliyopo madarakani ni ya ccm ni lazima wakubali kufanya kazi na serikali ya ccm ili program za maendeleo zilizopangwa zitekelezeke na wananchi wapate maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.