Recent content by Per Week

  1. Per Week

    Natafute mke, awe mwenye heshima na busara

    Nimewahi kuweka tangazo humu miaka minne iliyopitaa la kutafuta mke ila kabla ya kufanya maamuzi nilipata mtu ambae tulikuwa na mahusiano zamani kidogo. Malengo yalikua ndoa Ila tabia zake zilinishinda, busara na heshima vilikua vidogo sana kwake. Nikapata mwingine tukadate kama mwaka hivi ila...
  2. Per Week

    Nimeishi ughaibuni (Ireland) miaka 10, nikachuma pesa huko nikarudi kuwekeza nyumbani Tanzania

    Mimi nilipata ya masomo kipindi hicho, Sasa hivi sijui ya kimasomo.inapatikanaje
  3. Per Week

    Nimeishi ughaibuni (Ireland) miaka 10, nikachuma pesa huko nikarudi kuwekeza nyumbani Tanzania

    Nilikuwa nafanya kazi Sana na wafugaji kutokana na taaluma yangu
  4. Per Week

    Nimeishi ughaibuni (Ireland) miaka 10, nikachuma pesa huko nikarudi kuwekeza nyumbani Tanzania

    Visa ilikuwa ya masomo kipindi hicho, nikafanya mishe huko nikafanikiwa kubali. Nikirudi kuajiriwa kutokana na kuhitajika na nilipewa mchongo na Mtu, hivyo CV yangu ikakubalika nikapigiwa simu nikaenda kuongea nao tukaanza kazi. Baadae nilipoona nimechoka ndio nikaacha
  5. Per Week

    Nimeishi ughaibuni (Ireland) miaka 10, nikachuma pesa huko nikarudi kuwekeza nyumbani Tanzania

    Hapo nimesema kwa miaka 7 nimekusanya karibu dola 350k, watu wameanza kununa. Nikisema kwa mwezi?
  6. Per Week

    Nimeishi ughaibuni (Ireland) miaka 10, nikachuma pesa huko nikarudi kuwekeza nyumbani Tanzania

    HAKUNA aliyeni-quote, Uzi haikuwa na wachangiaji wengi, wengi walikuja inbox
Back
Top Bottom