Recent content by pepsin

  1. pepsin

    GE2025 Oktoba Tunatoka

    Hapana. Sio ccm wote ni wabaya. Wala viongozi wote wa serikali. Msije umiza watu wasiohusika kwa mob movement.
  2. pepsin

    GE2025 Msanii wa Vichekesho, Ramso atekwa na 'watu wasiojulikana'. Aliposti video akimtaka Samia ajiuzulu

    Kwa hiyo alivyoongea na kushauri ametukana? Na kupotezwa ndio kuwekwa ndani? Utaratibu wa kisheria, anayevunja sheria akamatwe, ashitakiwe na kuhukumiwa. Tuipende kwa dhati nchi yetu
  3. pepsin

    GE2025 Viongozi wa umma, wanasiasa na watendaji wa serikali wawabane watoto wao kutopost mali wanazomiliki

    Wewe ni mjinga kuliko wazazi wa hao watoto. Kemea ufisadi wa watoto na wazazi kwanza, sio picha. Elimika na kuwa mzalendo kwa nchi yako. Shenzi type
  4. pepsin

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Hiyo ni shida ya wachache. Kwa sisi sisiemu wala haitupi shida. Cha msingi karatasi za kura zijazwe. Kwa hiyo mkigoma, nikienda kituoni nawapigia kama 20 hivi, walionyumbani. Mwisho ni kwamba kura milioni 15+ zitapigwa tu.
  5. pepsin

    PreGE2025 Askofu Mameo: Taifa lirudi katika misingi ya Haki, agusia Tume Huru, na 'No Reforms' asema Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama

    Wakristo hawana "mawaidha" bali mahubiri au homilia. Hapo ndio unapoanzia kuchemka ustaadhati
  6. pepsin

    PreGE2025 Askofu Mameo: Taifa lirudi katika misingi ya Haki, agusia Tume Huru, na 'No Reforms' asema Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama

    Wakristo hawana "mawaidha" bali mahubiri au homilia. Hapo ndio unapoanzia kuchemka ustaadhati
  7. pepsin

    PreGE2025 Askofu Mameo: Taifa lirudi katika misingi ya Haki, agusia Tume Huru, na 'No Reforms' asema Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama

    Wakristo hawana "mawaidha" bali mahubiri au homilia. Hapo ndio unapoanzia kuchemka ustaadhati
  8. pepsin

    PreGE2025 Video: Wazee wa kimila Singida wamteua Tundu Lissu kuwa shujaa wa Kinyaturu. Wamvika nguo za kimila ikiwemo kaniki na ngao

    Mbona wewe una upungufu wa ubongo, yaani una ubongo kiasi kidogo chini ya wasting na hujatupwa porini?
  9. pepsin

    Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

    Codes zilishatolewa siku nyingi na wakulia walishalia na wa kulaani walisha laani. https://www.jamiiforums.com/posts/29141028/
  10. pepsin

    Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

    Atoe ushahidi kwa nani? Kwa ma judge ambao Rostam alisema wanafanya kazi kwa simu za wakubwa? Wachunguzi wa kimataifa waje na Kabendera atatoa ushahidi wake huko
  11. pepsin

    Garatwa: Kila Shilingi iliyoletwa CHADEMA na Mbowe baadae aliidai kama bili au deni kwa chama hata kama ni pesa toka kwa wafadhili au wahisani

    Kama FAM ni mtu wao means hawezi kuachia foreigners wachukue usukani maana watahatarisha maslahi ya system ambayo ni ya blue ya taifa imekuwa so diluted na kuwa kijani. Ninacho tamani ni chadema kivunjike ili kambale ajitenge na perege. Siku Lissu, Heche na Lema wakitangaza chama mbadala...
  12. pepsin

    Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

    Chama kimeshagawanyika. Chama kipya kitazaliwa au kuwa adopted na kitakuwa na nguvu sawa au kuzidi chadema. Hatimaye nguruwe kala mwanaye
  13. pepsin

    Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana kwa Dharula Jijini Dar es Salaam

    Resolution moja muhimu sana iwe kuhusu uchaguzi wa chama ngazi ya taifa. Ni muhimu sana kutoka kwenye uchaguzi wakiwa kitu kimoja. Kwa mazingira ya sasa, siwaelekezi lakini ikiwapendeza Lema, Hehe na Lissu wapewe nafasi za juu zaidi.
  14. pepsin

    Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

    Wakatoliki tuna amini kuwa kuna makundi yetu matatu. Kundi la kwanza ni la walio hai kimwili. Hawa ndio sisi tuonatype humu. Hili kundi linahubiri na kuhubiriwa. Wanaomba na kuombea kwa Mungu. Kundi la pili na la tatu ni la wafu wa kimwili. Hawa waliishi ila wameshakufa. Hawa wapo makurdi...
Back
Top Bottom