Habari zenu akina members wote humu nimeona nitumie kiiengereza siunajua kinapanda sana lazima ukichanganye kidogo
Tunaelekea uchaguzi mkuu na unajua wale watu wa mjengoni vile hua wanakua majimboni ni kuhakikisha hachomoki mtu na pesa ya ruzuku na zile za chama,[emoji23]
Mazuzu yetu lazima...
Imekua nikawaida kwa wanaume humu kujisifu atumia mtaro tena nakujisifu kabisa sidhani kama niungwana
Taarifa nyeti kama hizi unazianika hadharani yanini janaume zima na suruali yako ndefu kama buti za Charlie champrin
Ndio maana hua wanawake wanaamua kuwachunia kwa post zenu zisizokua na...
Wapendwa poleni na mihangaiko ya corona!!
Mimi kwangu kiumbe waajabu zaidi ni mwanaume
Anatafuta pesa kwanguvu zote afu tukiwaomba wanaanza kujishika shika nakunyiuma uma mwisho wa siku wanazitoa zote kesho yanaanza kulia kama mbuzi,
Mama yake mzazi anaweza kutotumiwa pesa hata miezi mitatu...
Jaman wazima humu
Hakuna sehemu wanaume wanajifanya wajuaji wakila aina ya kitu kama humu ndani
Ujuaji,majivuno yaani wanaume wa humu hakuna kitu kabisa kila aina ya kitu wanaijua wanawake wenye makalio wenyewe,weusi wenyewe,sijui nini wasichokijua
Kuwasema wanawake wenyewe,kujifanya...
Hakuna wanaume watoaji mapesa na wapenda sifa kama wanazo kama wa humu JF. Ukilia kidogo tu mapesa ntawataja kwa majina hapa tukianza na babu yetu mzee mwenye utoaji wa hali ya juu Asprin na mzee mshana jr
Ukilia tu imethibitishwa ila tahadhari ndoa za watu humu wengine wanandoa
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.