Recent content by Pepcorn

  1. P

    Wakili Robert Amsterdam ni nani?

    Unaweza kujiuliza ukakosa majibu ww kichwani zimo kweli hata kama ni tofauti za kiitikadi huwezi kutoa maneno kama haya hujafa hujaumbika ndugu yangu tena heri yy kwenye ukilema wa mguu lkn kichwani zinacharge kuliko wewe mwenye miguu ila kichwani nadhani Hanna kitu
  2. P

    GE2020 Msafara wa Mgombea Mwenza CHADEMA, Salum Mwalimu wapigwa mabomu Ifakara

    Bila kutumia za kwako ukibeba za kuambiwa tu ni tatizo sana
  3. P

    GE2020 Nape Nnauye: Maamuzi yanafanywa na wapiga Kura

    Hembu maneno haya yaweke kinyume chake hayawezi pia kuleta maana nyingine kuwa wapiga kura ndo wenye maamuzi na hizi kelele za ICC tusizipuuze maana Mara nyingi mtu anaweza kusema mkamuuza kuna siku atatenda kweli kama wapiga kura watakuwa wameamua
  4. P

    GE2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

    Mpira bado upo golini mwa adui badala mabeki waokoe naona midfielder na maforward wote wamerudi kuokoa dk si nyingi watajifunga
  5. P

    GE2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

    Kwenye football wenyewe wanasema point 6 yaan unashinda nyumbani na ugenini sasa jamaa anatuchanganya hatujui wapi ugenini wapi nyumbani
  6. P

    GE2020 Chagua Ramadhan Ighondo kwa maendeleo ya Singida kaskazini

    Mm nafurahishwa sana na haka kamsemo kuwa tarehe 28 tuna jambo letu sababu kuu ya kukafurahia hujui unaelekezewa wapi unashangaa tu ng,ombe hana shingo yaani atakavyolala ndivyo atakavyochinjwa
Back
Top Bottom