Wakenya,wanafanya kila liwalo,kuiondoa CCM madarakani, ili kuzisaidia nchi jirani kupata utawala bora! Vinginevyo uchafu uliopo utaenea Africa,na mwisho, Africa haitatawalika tena
MASIKITIKO MAKUBWA NA MSHANGAO KUHUSU NAMNA MATOKEO YA URAIS YALIVYOTANGAZWA
Kwa masikitiko makubwa na mshangao, ni jambo linalotia sintofahamu kuona Tume ya Uchaguzi ya Zambia (ECZ) ikimtangaza mshindi wa Uchaguzi wa Urais katika muda wa usiku wa manane, wakati wananchi wengi wakiwa wamelala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.