CCM inakutana na changamoto kubwa katika kukusanya wanachama kwenye mikutano bila kuzingatia muda wa watu. Kwa mfano, Dr. Emmanuel Nchimbi alipokuwa katika ziara ya mkoa wa Kilimanjaro, wanachama wa CCM walipata tangazo kuwa atawasili Jimbo la Hai saa 2 kamili asubuhi.
Hata hivyo, wanachama...
Mkuu wa wilaya Hai, Mkoani Kilimanjaro, Hassan Bomboko, ameonyesha wazi kutokubaliana na mbunge wa Jimbo hilo, Saashisha Mafue, ambaye ameteuliwa kugombea tena ubunge. Kutengua uteuzi huu unakuja wakati ambapo Bomboko, ambaye pia ni Kamisaa wa chama na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.