Recent content by pela

  1. pela

    Usaili wa Tax Officers waahirishwa

    Ubarikiwe sana kwa ushauri wako, nataman wangechukua huu ushauri!
  2. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kijana kutoka Kigoma, Anasema “Fanya kile unachoweza kufanya, kinaweza leta mabadiliko”
  3. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kawaambie walokutia wa-undo, usiniletee makasiriko!
  4. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kwa hiyo unatakaje? Au na ww ni mmoja ya walitiwa wakapewa pepa?
  5. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Wakale maisha wap? Kama ni wadada waligongwa wakapewa hizo pepa wawambie wa-undo!
  6. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Nilipoandika huu uzi, kuna wapuuuzi walijibu kuwa “kwa hiyo tukusaidiaje?” Majibu haya hapa
  7. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kwel mkuu, hajui watu tulivyo na maumivu, wazazi wetu wanetusomesha kwa shida, mimi ni tegemeo pekee kwa wadogo zangu na wazazi, afu unakuta mtu anaongea hapa vitu vya ajabu. Hii nchi inanijenge roho ya kikatili sana!
  8. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    People are too theoretical ,wanachukulia vitu poa sana. Kama ingekuw hivyo kwamba unatupia 200k shambani then maisha waaaah, hakuna ambae angekuw na shida ya kuajiriwa na mtu.
  9. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Hongera mzee, inaonekana wewe ni mmojawapo uliyepata kwa hiyo hutak issue iharibe ili utoboe!
  10. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    The end doesn’t justify the means, na kwa nini uvuje? Do you want to justify this bullshit kwa sababu unahis kwamba ingeni-favor nisingelalamika?
  11. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Usijal mkuu, wewe huwakilishi watu wote. Wapo watakaotoa msaada? By the way hili ni jukwaa huru, kila mtu ana haki ya kutoa maoni au malalamiko.
  12. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Network ili na mimi next time npate paper, sio?
  13. pela

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kutoka kwa mdau, Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi. Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper. Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani...
  14. pela

    Waraka kwa Maaskofu -Wakatoliki

    Ngoja nitulie niusome. Hapa kuna mambo mazito sana.
Back
Top Bottom