Recent content by pejo

  1. P

    CCM ni ya matajiri,vigogo na watoto wao,maskini imekula kwenu.

    tatizo sio ccm, njoo uku dodoma ujionee magari ya wajumbe na wabunge wa bunge la katiba yanapaki kwenye hostel za wanawake wa vyuo vikuu vya hapa yani ni uhuni tu, unategemea watatoa hoja gani? wanawaharibia watoto wa maskini maisha. wenzetu ulaya kiongozi akiwa mhuni anafukuzwa, mnakumbuka...
  2. P

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    amesema,"viongozi wa africa wanajivika ujasiri wasiouweza" hapa ina maana anashabikia ushoga na hakubaliani na Museveni kusaini, ameiaibisha Tanzania na taaluma yake na chuo chake.
Back
Top Bottom