Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO. Tupigie Kwa Namba 0714693107, 0764068964 . Tunapatikana Dar es salaam
Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO.
TUNATOA HUDUMA ZA ujenzi wa namna yoyote kama ilivyo kwenye tangazo. Pia tunatengeneza garden za KISASA kwa gharama nafuu Sana. Piga namba 0714693107 au 0764068964 Tukuhudumie
Tunajenga makazi na kufanya decoration zote ikiwemo gardening design kwa gharama nafuu kwenye ubora mkubwa. TUPIGIE kwa Namba zilizopo kwenye kipeperushi au hizi TUTAKUHUDUMIA. Pia ushauri wa namna yoyote kuhusu ujenzi unatolewa buree. Piga: 0714693107
Ni eneo lenye mteremko kiasi ambalo linaruhusu maji kutelemka lkn mteremko wake hauonekani Sana kwa macho. Na hata ukionekana, hauna madhara makubwa katika kufanya leveling.
Nakuelewa lkn hebu tuweke katika uhalisia na sio kubishana, ukisikia mtu anasema fensi lazima ujue kuwa eneo linakidhi vigezo vya kujenga nyumba au kuwekezwa kitu na kuwekewa uzio. Futi ni ndogo Sana ni Sawa na vyumba viwili au chumba sebule kwa mrefu eneo inaisha. Kama ulishawahi kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.