TUNATOA HUDUMA ZA ujenzi wa namna yoyote kama ilivyo kwenye tangazo. Pia tunatengeneza garden za KISASA kwa gharama nafuu Sana. Piga namba 0714693107 au 0764068964 Tukuhudumie
Tunajenga makazi na kufanya decoration zote ikiwemo gardening design kwa gharama nafuu kwenye ubora mkubwa. TUPIGIE kwa Namba zilizopo kwenye kipeperushi au hizi TUTAKUHUDUMIA. Pia ushauri wa namna yoyote kuhusu ujenzi unatolewa buree. Piga: 0714693107
Ni eneo lenye mteremko kiasi ambalo linaruhusu maji kutelemka lkn mteremko wake hauonekani Sana kwa macho. Na hata ukionekana, hauna madhara makubwa katika kufanya leveling.
Nakuelewa lkn hebu tuweke katika uhalisia na sio kubishana, ukisikia mtu anasema fensi lazima ujue kuwa eneo linakidhi vigezo vya kujenga nyumba au kuwekezwa kitu na kuwekewa uzio. Futi ni ndogo Sana ni Sawa na vyumba viwili au chumba sebule kwa mrefu eneo inaisha. Kama ulishawahi kujenga...
Ukijitaji kazi nzuri na yenye ubora kwa gharama nafuu, nipigie kwa Namba 0714693107. Niko Dar es Salaam, ujenzi pamoja na gardening ndio tasinia yetu. Karibu sana
Karibu sana wateja wetu, sisi tunafanya kazi za ujenzi, finishing za makazi, Pamoja na UTENGENEZAJI wa Garden za KISASA. Gharama zetu ni sawa na bure, usikubali kuambiwa Bali chukua hatua ukitaka kichobora kwa gharama nafuu. Kwetu tunazingatia ufanisi na Ubora wa kazi Bila kuangalia kipato...
Tunatoa huduma za:
1. Gardening and landscaping
2. House molding and decorations
Ushauri na mitazamo yakinifu ni bureeeeee kabisaa. Chukua hatua, nipigie kwa namba 0714693107. Napatikana dar es salaam.
Ni kweli unachosema, hayo ni matumizi bora ya eneo lako kwa afya yako. Sema changamoto tunayokumbana nayo ni mapendekezo ya maboss wetu huwa wanachotaka tunawapa asilimia 60% zetu 40% baada ya kuwashauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.