Wadau pombe kwa wanaoweza kinywa kwa vipimo sawa, ila sisi ambao hatuna nguvu nayo, namaanisha mzinga lazina uishe, hatutakiwi kunywa kabisaa, nilijaribu kunywa kwa kiwango nikashindwa hadi nikafikia siwezi kufanya chochote bila pombe, nikiamka tu kwanza pombe, namshukuru mingu sasa nipo na...