Kiongozi sio lazima uwe na fremu kupata hizo legal documents. Kwa wale wapenzi wa simulizi za analyse watakuwa wanakumbuka ushauri aliopewa na yule "Mzee" wa kufungua kampuni hata kama hana fremu.
Tuchukulie mfano kwa vijana ambao ni mawinga wa bidhaa tofauti tofauti, unasajili jina la biashara...
Namuunga mkono mtoa mada, alichowasilisha ni kitu muhimu sana. Japokuwa naweza kutofautiana nae katika baadhi ya vipengele.
Kiujumla hizo legal documents nyingi hazina gharama kubwa kuzipata, na kuwa nazo kunakutengenezea fursa kubwa kwa wawekezaji/washirika kama una wazo zuri la biashara...
Japokuwa sipo katika miaka uliyotaja, lakini yawezekana ukapata mawili matatu.
Mimi nimeoa 2016, kabla ya kuoa nilishatathmini mapungufu ya mwenzangu kuona kwamba nitaweza kuyavumilia na kusaidiana kuwekana sawa (hakuna mwanamke wala mwanaume mkamilifu). Kuna tabia zinaweza kukukwaza na zingine...
Kiongozi mzabzab mambo ni mengi, kuna kipindi nafasi ya kutosha inakuwepo inapigwa derby ya kariakoo karibu kila siku, kuna muda majukumu yako au yake au nyote Kwa pamoja yanawazidi mnaahirisha pambano.
Kuna ulezi wa watoto, baba kubanwa na kazi baadhi ya nyakati, ugonjwa na mengine mengi...
Kiongozi mke inabidi ajue nafasi yake, yaani kitendo tu cha kumuwazia mabaya mzazi wako ni kosa la jinai, achilia mbali kutamka tena mbele yako.
Jitahidi kutumia busara, hekima na nafasi yako kama mwanaume kumuweka sawa wife.
Maana kwa mazingira hayo hata ikitokea siku mama amekutembelea kwako...
Sababu ni nyingi kulingana na wahusika lakini mara nyingi ni kuwa na malengo ya muda mfupi (kashatimiza haja yake).
Na mwingine ni wale ambao hawataki mazoea sijui text, kupigiana simu, siku akikuhitaji utamuona tena na uchangamfu wote hasa ikiwa anakupa hela kila mnapokutana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.