Msaada wadau,
Nina cd ya windows7 ambayo sio bootable, nimekwama jinsi ya kuburn hizo files kuwa bootable win7. Nimejaribu kutengeneza iso file kwa ajili ya kuburn bila mafanikio. Natumia UltraISO.
Thanks.
Wadau, huyo sio Kibonde. Ni doctor fulani hivi (bahati mbaya nimemsahau jina) alialikwa kwenye kipindi cha jahazi baada ya clouds kuitwa super brand. Alikuwa akifanya kazi na clouds kipindi cha nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.