Pombe tamu asikwambie Mtu Cha kufanya we piga tungi la kutosha halafu tafuta ndizi mbivu kula hakuna atakaye kushtukia kazini, kula mma. ONYO: Kunywa Kistaharabu shauri zako.
Wadau naomba kujua hiki kibaiskeli au kipikipiki au kimwendo kasi hata sijui kinaitwaje ila nadhan kinafahamika machoni mwetu si kigeni kiviile.
Naomba kujua kwa hapa bongo kinauzwa wapi na bei yake ikoje either kiwe used au kipya
Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania
Kuna kaka yangu anaishi Mlandege Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, amelipia gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme pamoja na nguzo yake, lakini cha ajabu tangia alipie sasa inafika mwaka na miezi kadhaa bado hajapatiwa huduma hiyo.
Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.