Kuna watu wamezoea ubishi aiseee. Mi ndio muhusika na nmeshafanya majaribio hayo Kuna siku hatukuwa na umeme toka saa 3 asbh mpaka saa 12 jion lkn nilitotolesha mayai yote.
Habari?
Katikat pitapita mitandaoni na kusoma vitabu tofauti tofauti juu ya hizi mashine za kutotolesha vifaranga nimefanikiwa kutengeneza Moja yenye uwezo wa mayai 33.
Na nimefanya majaribio mara mbili imekuwa na ufanisi wa 100% yaan imetotoa vifaranga 66 kwa awazo zote mbili.
Ili uweze...
Habari ya majukum wakuu?
Naomba kujua kwa yeyote anayefaham wapi nàweza kupata kifaa hiki?
Kinaitwa TEMPERATURE AND HUMIDITY CONTROLLER
Kinauzwaje?
Mi napatikana Iringa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.