Recent content by PavelJr

  1. P

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ahofia kukamatwa, kufunguliwa mashtaka na kufungwa pindi atakaporejea nchini

    Mbunge wa kigoma mjini amefungua kuwa anaogopa kurudi nchii kwa sababu anahofia usalama wake baada ya kuikosesha tanzania mkopo mkubwa uliokuwa na thamani ya sh $500m katika sekta ya elimu. Chanzo: VOA . Zitto naogopa kurudi tz nimeambiwa nikirudi watanipiga risasi kama/Siwezi kuja nmetishiwa...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

    Umoja wa mabunge duniani wasikitishwa na kile kinacho endelea Tanzania baada ya aliyekuwa mbunge Tundu Lissu kutishiwa maisha na kushambuliwa. Barua hiyo imekujaaa baada ya Tundu Lisu kwenda kulipoti katika umoja huo . Umoja wa Mabunge waiandikia Barua TZ / Wasikitishwa kushambuliwa kwa Tundu...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

    Spika wa bunge Mh ndugai akasirishwa na Zito Kabwe kwa hatua yakuonesha kuwa na furaha baada ya Tanzania kunyimwa mkopo, . BUNGENI: ndugai amtangazia vita zitto akija atueleze kwa nini anasababisha tanzania tunyimwe mkopo https://youtu.be/UVsv36IolYw Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

    Takukuru wa anza kazi ya kumchunguza kangi lugola kutokana na manunuzi ya vifaa vya jeshi la zima moto kutiliwa mashaka kuwa na ubadhifu wa pesa za serikali. Hatua hiyo imekuja baada ya kauli ya raisi JPM kuikabidhi kesi hiyo katika tasisi ya kupambana na rushwa siku ya makabiziano ya nyumba za...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    Mh Zitto mbunge wa kigoma mjini ameiambia BBC kuwa mkopo huo ulikuwa katika masilahi ya uchaguzi wa mwaka huu 2020 na sio elimu kwa maana katika shule zilizo orodheshwa zote sio mpya Chanzo: BBC SWAHILI . Zitto bila hofu azungumza mazito/ Ni kweli nliomba wa nyimwe mkopo huo...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atoa siri za Kangi Lugola, alikuwa anawatukana sana Polisi

    Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameamua kuweka wazi mambo ya siri ya Kangi Lugola baada ya kutumbuliwa. IGP Sirro alikuwa akiripoti kila siku juu ya tabia yake ya kuwatukana Polisi kiukweli nilikerwa na hiyo tabia aliyokuwa nayo kwa Jeshi la Polisi, alisikika Rais Magufuli akizungumza...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

    Polepole aisoma barua ya Zitto kabwe iliyokuwa ikitakiwa kwenda ulaya, lengo kuu ya barua hii nikuomba kuinyima misaada nchi ya Tanzania. Barua ya Zitto kwenda Ulaya yavuja/Polepole aiweka hadharani
  8. P

    JamiiForums Tanzania Ikulu Dar: Rais Magufuli amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa Zungu apewa Wizara ya Mazingira

    Habari kubwa leo ni kutokana na alichokifanya Rais Magufuli kumtumbua Waziri Kangi Lugola. Pia ameteuwa nafasi zingine zilizoachwa na wengine waliojiudhuli katika Jeshi la Zima Moto na kuwaongeza miaka mingine ya utendaji kwa mabalozi ambao muda wao umeisha. Mabalozi hao ni pamoja na balozi...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Siku zote tunasema CCM kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi namba 1 hapa nchini

    Unacho ongea uko sahihi kabisa maan kwa sasa wabunge wa chama tawala hawana masilahi kwa hili taifa na wamebaki na masilahi yao Wengi wao kwa sasa wanaangalia matumbo yao tuu na familia zao hawezi kwenda kinyume maana muda wowote hatokuwepo madarakan #turelax Sent using Jamii Forums...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Dar, Banana: Rais Magufuli azindua nyumba za Askari Magereza Ukonga

    Habari kubwa leo ni ya rais JPM kumtumbua alikuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi lugola baada ya kuonekana mapungufu na uzembe katika wizara hiyo,raisi Magufuli azungumza haya. . Breaking JPM amtumbua kangi lugola kwenye mkutano / Hunifai tena jiudhulu https://youtu.be/Q980BaKou6o Sent...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Raisi wa marekani Donard Trump aweka vizuizi kwa nchi baadhi za africa pamoja na katazo kutoingia nchi marekani. . Trump ato sababu za Tanzania kuwekewa vikwazo kusafiri Marekani https://youtu.be/btga2aNgvmY Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa habari wa Tanzania mmelala

    Nmekuelewa sana ila kwa xx uhuru wa vyombo vya habr kwa xx haupo , Hayo uliyo yaongelea yapo na sio kama hawayaoni wana yaona tena vizuri maan a wengi wao wanaishi huko ila shida ni kwamba wakilipoti hayo maisha yao yako hatarini xo acha watupe udaku tu hakuna namna [emoji17][emoji17] Sent...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Wadhamini wamwandikia barua Mbowe kumtaka Lissu arejee Tanzania

    Aliekuwa mmoja wa wazamini wa Tundu lissu ametaka Tundu Lisu arudishwe nchini haraka. Amuandikia barua Mbowe akitaka kumsaidia kumuita Tundu lisu kuja nchini tena na asipokuja atamfungulia mashtaka Source: Clouds fm . Kumenuka Mbowe atakiwa amlete Tundu Lissu nchini Haraka / Aje tusimame...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

    Et kuna watu wapo wanabisha kama walikuwepo Labda huenda mlikuwa ndie beki [emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  15. P

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

    Katibu mkuu wa chama cha CCM amtupia maneno makali alikuwa raisi wa awamu ya nne Dr Kikwete kwa kusema yeye ndie aliyekuwa chanzo kwa chama hicho kupolomoka . Dr Bashiri amkashifu kikwete kwa maneno mazito / Kikwete ndie alieua chama chetu https://youtu.be/lXdjcImhol0 Sent using Jamii...
Back
Top Bottom