Recent content by Paulini

  1. P

    Shivji: Tanganyika Siijui, Siihitaji

    iliyoungana na zanzibar april 26/1964 wendawazimu huita tanzania bara.
  2. P

    Shivji: Tanganyika Siijui, Siihitaji

    naunga mkono hoja kama hakuna haja ya tanganyika na zanzibar nia moja=TAN-ZA-NIA nchi iwe ni tanzania isiyotokana na muungano iwe na serikali moja zanzibar iwe mkoa
  3. P

    Hati ya muungano yachakachuliwa kukidhi matakwa ya CCM

    kama ilivyo magumashi kwenye hati ya muungano vivyohivyo huduma za kijamii,ruzuku ya pembejeo ni dili kwa wakubwa sikwamlengwa! iko wapi soko la mpunga wa mtazania? Nini chanzo cha mgogoro kati ya wazawa na wawekezaji wakubwa mf.huko mbeya na bode la kiru-babati hii nikutokana na usirikali...
  4. P

    Hati ya muungano yachakachuliwa kukidhi matakwa ya CCM

    Niwekeeni bendera ya tanganyika wadau hivi inarangi ngapi?
Back
Top Bottom