Mna maana gani? Kama siyo NEC na upenfeleo wa wazi cvm ingekuwa wapi!
Mtanzania anayechagua ccm ambayo imetumia fedha za nchi kihovyo kama walivyofanya hii miaka mitano hawastahili kuitwa watanzania!
Jamani rais Magufuli alifanya campaign Singida watu wa Singda walimpa heshima yake. Kwa nini yeye akaruhusu wahuni na policcm wamfanyie Lissu fujo? Haoni kuwa ni aibu kwake? Unajua kwa nini kiongozi akija katika nchi yako ni muhimu umlinde sana ili asipatikane na shida katika nchi yako kwani ni...
Kikwrte mwenyewe aliwatobolea kuwa aliyesogeza uchumi kutoka uchumi wa chini sama mpaka wa chini sana wa kati ni Mkapa RIP baba na JK mwenyewe. Wa sasa kasogeza kwa $100 tu kwamika mitano. Na lengo la Mkapa, Mungu ampumzishe kwa amani, ni 3m plus per person per year siyo 1m!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.