Recent content by Patrick Muhangi Tibasana

  1. Patrick Muhangi Tibasana

    Msafara wa Makonda wapata ajali

    Hao madereva wamepata mafunzo kweli au wamepitishwa tu juu kwa juu? Madereva wote wa magari ya Serikali haswa wa viongozi hupaswa kupitia mafunzo maalum na baada ya kuyafuzu, hupewa ama hupangiwa nafasi husika au huwa chaguo la kwanza kwa ajili ya kuwaendesha viongozi. Ndo maana ya uwepo wa Chuo...
Back
Top Bottom