Kitu kinaitwa kilimo huwa lazima ufate kanuni kabla ya kulima. Kanuni hizo ni hiziapa
1)Ardhi
2)hali ya hewa la eneo hilo
3) naujue eneo hilo linaitaji kilimo gani
4) naufahamu sehemu hiyo inaitajika kwa majira gani miezi ya mwazoni au miezi ya mwisho ya mwaka ukishajua hapo sasa ndounaaza...
Unajua kila siku dalili zinazidi ya corona .mm embu ilivoaza ilikuwa kwa njia ya hewa mmm akiamungu mungu awe na sisi watanzania tuludie mungu tuache siasa
Rais wa tunisia kais saied amesitisha shughuli zote za bunge pamoja na kufuta kazi za waziri mkuu wa nchi hiyo mw. Hechim mechichi kufuatia maandamano ya wananchi waliolaumu chama kilicho madarakani
Mahakama ya kisutu : mahaka ya mkazi ya kisutu imefutia kesi ya dereva wa taski hakimu kumuachia uhuru alikuwa akiitwa kwa jina ya mousa twaleb alishitakiwa kwa kumteka mfanyabiashara maarufu mohamed Dewji
Habari leo Rais mwenyekiti wa baraza la mawaziri ya mapinduzi , Ali Hassan mwinyi leo ametengua uteuzi wa ukurugenzi wa idara ya nyaraka ya kumbukumbu ya zanzibar, Salum suleimani salum ,
Spika mh Ndugai amesema na bunge kuhusu makato ya tozo ya miamala kwa njia njema kwa kutekeleza miradi ya maendeleo ili ikifika 2025 Tanzania ipige atua kimaendeleo. Wanao pinga nivema wakatoa mawazo mbadala ya nini kifanyike
Nikweli kuhusu kutengenezwa chanjo ya corona Dunia inaangaika kuhusu corona ila shirika la afya who linaangaika kufafanua kuhusu chanjo inavyotengeneza.
Vipi ni viungo vinavyotengeneza chanjo sasa hapa tujue Chanjo hiyo inajumuisha vipande vidogo vya vijiumbe vinavyosababisha magonjwa au...
Kuhusu chanjo ya corona
Rais mama yetu alitutaarifu kuhusu chanjo zilizoletewa na watu waafya ila tunajiuliza hii chanjo niyakwetu au ya nchi nyingine?
Tunaaza kujua mataifa ya uwarabuni walikaa na mama yetu kiongozi wetu mama Samia kwamazungumzo ya kuhusu chanjo ya kupigana na...
Kama leo sio mama yetu president Samia mambo ya kutuletea chanjo na nchi za uwarabuni kwani watanzania tupewe nini kiukweli watanzania hulalamika kila mda sijui wafanyeje serikali kila njia wanafanya ila watanzania wanaona nisiasa nashukuru Dorothy Gwajima kwakuwa mkali kwa madactari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.