Recent content by Patrick ck masimulizi

  1. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Waziri mkuu akakuna kichwa,akarekebisha miwani yake akasema. “Nakubaliana na mawazo yako mheshimiwa Spika kuwa kwa sasa usalama wa Edger ni muhimu zaidi.Kama ulivyoshauri naomba suala hili liwe siri kati yangu mimi,wewe na Dr Olivia hadi hapo...
  2. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Dr Olivia akahisi kijasho kikimtoka baada ya taarifa ile ya Dr Jacob.Akakohoa kidogo kurekebisha koo lake halafu akasema “Dr Jacob nashukuru kwa kazi kubwa mliyoifanya na kuokoa maisha ya Edger.Tulifanya jambo la msingi sana kufanya maamuzi ya...
  3. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Olivia my love nimezungumza na rais,anashukuru sana kwa namna ulivyojitoa kumuhudumia Edger Themba.Rais anasema kwamba hakuwa na taarifa kamili kuhusu maendeleo ya Edger.Amekubali Edger akimbizwe nje ya nchi haraka sana kuokoa maisha yake.Tayari amekwisha zungumza...
  4. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Nimesema nirejesheni katika chumba changu.Kila kitu kuhusu mfumo wenu anacho rais so go ask him” akasema Dr Olivia “You gave him the codes? “Nimewaambia kila kitu anacho rais.Muulizeni yeye atawapa maelekezo” akasema Dr Olivia.Kila...
  5. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Devotha unadhani kuna ulazima wa mimi kuonana naye? “Ndiyo mheshimiwa rais.Kuna ulazima wa kuonana naye.Yawezekana kuna jambo la muhimu sana anataka kukueleza vile vile tunahitaji kurudisha mfumo wetu ambao ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuurejesha”...
  6. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Ninashukuru sana IGP kwa taarifa hiyo yenye kutia moyo.Ninakuomba uongeze nguvu zaidi na hakikisha unafanya kila uwezalo Dr Olivia apatikane” “Tutafanya kila tuwezalo mheshimiwa rais na ninakuhakikishia Dr Olivia atapatikana”...
  7. P

    Riwaya: Siri

    ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Mheshimiwa rais ninakushukuru sana kwa maneno hayo ambayo yametupa faraja kubwa sana na matumaini ya kumpata mwanetu akiwa salama.Kwa niaba ya familia yangu ninasema ahsante sana” akasema Agrey “Nimeagiza kupewa ripoti kila baada ya saa moja...
  8. P

    Riwaya: Siri

    Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Ndege ilisimama mlango ukafunguliwa na abiria wakaanza kushuka. Mtu mmoja ambaye mavazi yake yalionyesha ni mfanyakazi wa...
  9. P

    Nakemea matumizi mabaya ya kazi za waandishi

    Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile MISS TANZANIA SERENA BEYOND PAIN BEFORE I DIE PENIELA THE FOOTBALL QUEEN MONICA I DIED TO SAVE PRESIDENT I WAS WRONG TEN CHAPTERS BRING BACK OUR GIRLS KIAPO CHA JASUSI KIKOSI CHA SIRI Kumekuwa na matumizi mabaya ya baadhi ya kazi za...
  10. P

    Riwaya: I died to save my President

    Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile MISS TANZANIA SERENA BEYOND PAIN BEFORE I DIE PENIELA THE FOOTBALL QUEEN MONICA I DIED TO SAVE PRESIDENT I WAS WRONG TEN CHAPTERS BRING BACK OUR GIRLS KIAPO CHA JASUSI KIKOSI CHA SIRI Kumekuwa na matumizi mabaya ya baadhi ya riwaya...
  11. P

    Riwaya: The Football

    Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile MISS TANZANIA SERENA BEYOND PAIN BEFORE I DIE PENIELA THE FOOTBALL QUEEN MONICA I DIED TO SAVE PRESIDENT I WAS WRONG TEN CHAPTERS BRING BACK OUR GIRLS KIAPO CHA JASUSI KIKOSI CHA SIRI Kumekuwa na matumizi mabaya ya baadhi ya riwaya...
  12. P

    Riwaya: Kiapo cha jasusi

    RIWAYA : KIAPO CHA JASUSI SEASON 1 SEHEMU YA 8 MTUNZI:PATRICK CK MAWASILIANO :0764294499 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Mheshimiwa rais ninaomba sana unisaidie katika hilo.Ni suala ambalo linanikosesha usingizi na hadi sasa tumeanza kufikiria hata kutumia njia nyingine za...
  13. P

    Riwaya: Kiapo cha jasusi

    RIWAYA : KIAPO CHA JASUSI SEASON 1 SEHEMU YA 7 MTUNZI: PATRICK CK MAWASILIANO :0764294499 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Nina jambo moja ambalo nataka unieleze ukweli.Unamfahamu huyo mwanamke aliyetoka hapa kuungama muda si mrefu? Padre Thadei akasita kujibu “Father...
  14. P

    Riwaya: Kiapo cha jasusi

    RIWAYA : KIAPO CHA JASUSI SEASON 1 SEHEMU YA 6 MTUNZI: PATRICK CK MAWASILIANO :0764294499 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Kila siku ninazidi kujiona kijana kwa ajili yako kutokana na mambo unayonifanyia.Unanionyesha mapenzi mazito sana.Kila uchao...
  15. P

    Riwaya: Kiapo cha jasusi

    RIWAYA : KIAPO CHA JASUSI SEASON 1 SEHEMU YA 5 MTUNZI: PATRICK CK MAWASILIANO :0764294499 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA "Noah ahhmm !! rais akasita kidogo akanyamaza halafu akavuta pumzi ndefu na kusema "Nimepokea taarifa muda mfupi uliopita Dr Isaack amefariki dunia"...
Back
Top Bottom