Wakuu naomba mnisaidie, ni mwezi wa tano sasa toka nishiliki mapenz had hivi sasa navyoandka uzi huu sijafanya na sina hamu kabisaa, hata jogoo kuwika imekuwa shida naombeni msaada please ni tatizo gani hili.
Habari wakuu kuna taarfa mimekuwa nikizisikia kuwa kubanwa na mkojo kwa muda mrefu hasa nyakat za usiku huchangia kulegea kwa misuli/mishipa ya uume! je ni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.