Recent content by Patrick Andrew

  1. P

    Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

    Wakuu naomba mnisaidie, ni mwezi wa tano sasa toka nishiliki mapenz had hivi sasa navyoandka uzi huu sijafanya na sina hamu kabisaa, hata jogoo kuwika imekuwa shida naombeni msaada please ni tatizo gani hili.
  2. P

    Kulegea kwa misuli ya uume

    changia usikurupuke
  3. P

    Kulegea kwa misuli ya uume

    Habari wakuu kuna taarfa mimekuwa nikizisikia kuwa kubanwa na mkojo kwa muda mrefu hasa nyakat za usiku huchangia kulegea kwa misuli/mishipa ya uume! je ni kweli?
  4. P

    Ukweli wa mboga ya majani ya chainizi na upungufu wa nguvu za kiume

    Wanajamvi wenzangu kuna tetesi nimekuwa nikizisikia kuwa mboga ya majani ya chainizi inapunguza nguvu za kiume, je ni kweli? naomba kujuzwa
  5. P

    Mliochaguliwa UDSM, fuata utaratibu huu

    niko college ya coss conts tuchekiane 0754329619
  6. P

    Pesa ya field kwa wanachuo bado kitendawili

    Udsm, udom & Sauti bado hakieleweki ni lini hasa watapatiwa pesa hizo government iko wapi jamani.......!!
  7. P

    Balozi kuhanga mkuu mpya udsm

    Tnx kwa kupata mkuu mpya
  8. P

    Udsm yaporomoka katika viwango vya vyuo bora afrika, udom yang'ara, makerere yafunika

    hah hah hahaaaaaa eti nn udom, utakuwa unasoma apo bila shaka bado sanaaaaaaa!!!
  9. P

    Matokeo ya form 4 2014 ni changa la macho: no improvement!

    duuuuu! Elimu inadidimizwa hivi hivi tunaona cjui taifa la baadaye litakavyokuwa, kw system iiiii????
Back
Top Bottom