Recent content by pathfind

  1. pathfind

    Je, tamko la Rais ni sheria? Kama halijatekelezwa hatua gani huchukuliwa?

    ndungu watanzania hakika inauma sana nilishindwa ta kujua hata wapi niende maana hata wenzangu waliojalibu kwenda sehemu mbali mbali ilishindikana pia.binafsi kwangu nidonda ambalo lanitesa maisha yangu yote,inauma tena sana
  2. pathfind

    Hepatitis B ugonjwa huu unasambaa kwa kasi na matibabu ni gharama

    A serious liver infection caused by the hepatitis B virus that's easily preventable by a vaccine. This disease is most commonly spread by exposure to infected bodily fluids. Symptoms are variable and include yellowing of the eyes, abdominal pain and dark urine. Some people, particularly...
  3. pathfind

    Je, tamko la Rais ni sheria? Kama halijatekelezwa hatua gani huchukuliwa?

    Je, tamko la Rais ni sheria? Kama ni sheria au lazima litekelezwe? Ikitokea halijatekelezwa au kufanyika kama alivoagiza inakuwaje? Mimi ni mmoja kati ya wahanga waliokutana na tamko hilo halafu halikutekelezwa. Binafsi ilikuwa hivi; mimi nilikuwa mshiriki wa baadhi ujenzi miradi ya Jamhuri...
Back
Top Bottom