Recent content by patel22

  1. P

    JamiiForums Tanzania Huu Wimbo wa "Kuchapiwa ni SIRI ya Ndani"

    Naona hamna mtu hata mmoja alieongelea swala la kudhalilisha wanawake.. neno 'kuchapa'..ambalo hutumika na wanaume kwa wanawake linaashiria mfumo flani wa kudhalilisha..na ndo maana mara nyingi huambatana na majigambo kuwa nimemchapa ule mschana n.k.. hii ni 2014 tunahitaji mabadiliko...
Back
Top Bottom