Recent content by pasua

  1. P

    Buriani Amina Chifupa!

    Mungu amlaze pema peponi. Tuiache roho yake ipumzike kwa amani badala ya kutoa maneno mengi ya nini kilimuua. Msemakweli ni wale mabingwa wa kuchunguza maiti na sababu za kifo. Pengine ni vyema uchunguzi ufanyike ili sababu za kifo chake kijulikane kwa ndugu zake ama sivyo watu wataanza...
  2. P

    East African Federation (EAF) public Views

    watanzania tunatakiwa tuwe waangalifu kuhusu hili suala la shirikisho. Kwa upande wangu naona si wakati muafaka sasa hivi. Tuna tofauti nyingi mno, kiuchumi, kiitikadi, hali ya usalama, kielimu n.k. Tusikimbilie kuiga wenzetu wa jumuiya ya Ulaya wamekomaa kisiasa. wanaweza kuambizana ukweli...
Back
Top Bottom