Kweli, nchi sasa hivi inaendeshwa kwa kubutuabutua,tunaamka bila kujua ni nini kitafuata.ajira zimesimamishwa, madaraja ya mshahara yamesitishwa,mikopo kwa watumishi imesitishwa,kwa kisingizio cha vyeti feki na watumishi hewa,yaani toka January hadi sasa eti uhakiki unaendelea!maisha yanazidi...