Recent content by Passer by

  1. Passer by

    Mzozo wazuka upya kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    Kwani kuna mvutano na nani kwenye Mt.Kilimanjaro?
  2. Passer by

    KQ yawaleta totoz wapyaa!

    Tunataka real black Africans,na sio,sio yao mchanganyiko wa wachina
  3. Passer by

    Tanzania Yachomoa Kusaini Mkataba wa EPA

    Geza,hawa wakenya,tuliwaambia hatusaini,hawakuamini, sasa waisome namba. hahaha!
  4. Passer by

    Economic powerhouse status beckons Tanzania in a decade

    Please, live us alone,Imeandikwa na Mkenya mwenzenu, don't panic bro.
  5. Passer by

    Congo DRC slashed visa fees from $100 to $50

    Kwa kweli Kenya inaendelea kutengwa,hii ni kwa sababu ya Sera zake za usaliti dhidi ya mataifa ya kiafrika.
  6. Passer by

    Uhuru was drunk

    Tru
  7. Passer by

    Congo DRC slashed visa fees from $100 to $50

    With exception of +254's?teh teh!
  8. Passer by

    Mwinyi: Nchi sasa inakwenda kama Gari bovu

    Kweli, nchi sasa hivi inaendeshwa kwa kubutuabutua,tunaamka bila kujua ni nini kitafuata.ajira zimesimamishwa, madaraja ya mshahara yamesitishwa,mikopo kwa watumishi imesitishwa,kwa kisingizio cha vyeti feki na watumishi hewa,yaani toka January hadi sasa eti uhakiki unaendelea!maisha yanazidi...
  9. Passer by

    Zimbabwe to import maize from Tanzania

    K+254's walie tu.
  10. Passer by

    Benki zadaiwa kusitisha mikopo kwa watumishi wa umma kwa muda usiojulikana!

    Najuta kumpigia kura huyu jamaa,yaani najilaumu sana,katika maisha yangu, sitaipigia kura CCM tena.kutoka benki ziache kutoa mikopo,nimeadhirika sana kiuchumi.
  11. Passer by

    Any Luhya supporting Jubilee is lost - Mudavadi

    Haya majamaa tukiyaambia yana laana ya ukabila,yanaanza kulialia humu JF
Back
Top Bottom