Bahati nzuri unazungumzia haya mtandaoni lakini ukienda Kyela kwenye Site
Erythrocyte utakuwa una matege kwenye masikio yako. Mbunge wa Kyela jana katika mchango wake pamoja na kwamba alitakiwa kushauri serikali juu mambo ya jumla ya Budget ya Taifa na sio ya kijimbo lakini bado amegusia Mambo...
Je, ni sahihi Mbalawa kubaki?
Nimekuwa nikitafakari na kufuatilia jinsi serikali ya Jemedari wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli inavyofanya kazi, kwa weredi na ufanisi mkubwa sana. Mtanzania yeyote ambaye ni mzalendo hawezi kupuuza wala kuacha kufurahia na kuunga mkono juhudi hizi.
Lakini Mimi...
KESI ZA UCHAGUZI-UBUNGE MBEYA
Kesi nne zimeshalipiwa gharama "security for cost" na zitatajwa Jumatatu, Dec 28, 2015 Mahakama Kuu Mbeya.
KESI ZILIZOLIPIWA NA ZITATAJWA JUMATATU;
Kesi ya Mwambigija-Rungwe
Kesi ya Mkisi-Vwawa
Kesi ya Mwang'ombe- Mbarali.
Kesi ya Dr. Siame-...
Kibogo tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuhukumu watu. Mimi nadhani ni vizuri tuwe na maswali ya kujiuliza. Hivi Waziri ameandika report na kuipeleka ngazi husika halafu kabla ya kujua nini hatima ya report yake raisi anamhamishia wizara nyingine je, hapo alitakiwa kujiuzulu kwa...
Waacheni waandamane na kumfuata Lowassa lakini serikali hii ni ya CCM. Si mmeona Mamvi alivyofyata mkia? Mwaka huu wataisoma namba hasa kwa kasi hii ya Magufuri maana na wao ICD zao zimo kati ya zilizofungiwa.
Mwanakijiji there you are these hints must be born in mind by every tanzanian.We have to support Magufuri with all our efforts and by all means, by doing this we must be aware of the consequences. Kila kiumbe duniani kinategemeana na kingine ili kuishi.Leo wadudu wote wakifa ujue pollination ya...
Yule waziri husika ndiye aliyeunda tume ya kuchunguza sasa unamhusishaje na kwenda mahakamani? Maana hata kutoa ushahidi hausiki, wahusika ni tume aliyokuwa ameiiunda.. Mwakyembe ana akli kuwazidi nyie hawezi kuingia kwenye vitamaa.
Tunajua Richmond bado inawatesa sana. Mwakyembe hamumpati.
Ila laki pesa kweli umeishiwa ni hakuna tena. hivi tangu lini waziri akawa mtendaji wa wizara? Nenda shule kasome tena kama hukusoma elimu ya uraia. Mnapalamia mitandao kwa kutumwa huku kichwani mkiwa weupe pee. Kwa taarifa yako sasa wanunuzi wa mabehewa ni kitengo cha procurement katika idara...
Ni kweli kabisa Myao wa Kaskazini maana kuna watu bado wanaota Lowassa kuwa rais na ndio maana wameona aibukie kwenye mwili wa marehemu Mawazo huku wakifanya show na spare tyre yake Sumaye. Tume wakamata pabaya maana hawajui kwamba ni siku chache tu zimebaki hao mabwana zao wataumbuliwa. God...
The Boss, unatumika vibaya sana na hujui unachotumika nacho. Waambie hao wanaokutuma, waangalie haja za kukutuma nazo. Hivi unafikiri bila kazi ya TPA wakiwa chini ya Mwakyembe wasingetunza kumbukumbu taarifa zingepatikana wapi? Sasa kwa kukusaidia tu mchezo ulikuwa kama ifuatavyo, waliwatumia...
Duh mpaka sasahivi watu hawajaelewa. Hivi hao mawaziri wanahusika je na ushuru wa makontena? Je mmeambiwa bandari haikukusanya pesa za uingizaji wa hayo makontena? Ukweli ni kuwa walfage imelipwa na makontena yako kwenye records ya bandari ILA kule TRA hayoko, ndio maana suala hapa hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.