Recent content by Paschal Ruta

  1. Paschal Ruta

    Kinect XBox 360 Sensor Power cable inahitajika

    Wadau wa maendeleo, Nahitaji a power cable/USB adapter ya Kinect XBox 360 Sensor ya kuweza kuconnect Kinect Sensor kwenda kwenye computer. Hata ikiwa used ni poa, muhimu iwe inafanya kazi. Ni muhimu kujua ni ya XBox 360 na SIYO XBox One. Cable na adapter yenyewe ni kama hii kwenye picha.
  2. Paschal Ruta

    Mji gani unafaa kuwa Center ya Sanaa Tanzania?

    Naona wengi mnataja maeneo karibu na Dar. Vipi huu mradi ukifanyika sehemu kama Mwanza?
  3. Paschal Ruta

    Mji gani unafaa kuwa Center ya Sanaa Tanzania?

    Bado hakutazuia makampuni mengine kufanya biashara hizo miji mengine. Hoja yangu ni kuwa na center ya sanaa na kazi zingine za ubunifu. Ukielewa hoja yangu utaelewa faida na mantiki yake.
  4. Paschal Ruta

    Mji gani unafaa kuwa Center ya Sanaa Tanzania?

    Kuwekeza katika kila mji kwa jambo hilo hilo kunapunguza ufanisi wa sekta nzima. Makampuni yakiwa sehemu moja kunasaidia coordination na ushirikiano wa karibu. Inakuwa one-stop center.
  5. Paschal Ruta

    Mji gani unafaa kuwa Center ya Sanaa Tanzania?

    Ningekuwa na mamlaka husika ningechagua mji mmoja ambao ungejengewa miundo mbinu mbalimbali halafu wadau mbalimbali wa sanaa wakapewa motisha ya kuwekeza sehemu hiyo. Katika mji huo kutakuwa na studio mbalimbali za production, studio za muziki, makampuni ya usaili wa wasanii, makampuni ya...
  6. Paschal Ruta

    Naomba sana Rais Magufuli asiangalie chaneli ya Tanzania Safari

    Tatizo ni kuwa ili jambo lolote lifanikiwe na liwe endelevu inabidi wahusika wawe na wito na/au wapewe msukumo fulani, mfano pesa. Muhimu kuliko vyote ni kuwapata watu wenye passion na jambo husika. Wanaweza kufanya hata bure ukiwapa nafasi. Sasa walipe hao watu vizuri wafanye kazi uone matokeo...
  7. Paschal Ruta

    BASATA, COSOTA na Bodi ya Filamu kuunganishwa. Wadau waitwa kutoa maoni yao

    Asante kwa taarifa hii muhimu. Tutahudhuria bila kukosa.
  8. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Ooh. Asante kwa tip. Nimejiuliza mbona wamenisusa 😭😭
  9. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Mbona mliokuwa mnadai picha fasta mmepotea? @ Demiss @ Kingsmann @ Wankuru Nyanturu @ Kiizarob @ Baba Swalehe @ Idawa @ Chuma Cha Mjerumani @ Mfiaukweli @ Mwana Mtoka Pabaya @ Emery Paper @ Chakwale @ Nachingwea
  10. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Hilo naelewa na nimeli consider ila tatizo kubwa ni utumiaji wa lens isiyo sahihi kwa shughuli kama hizi.
  11. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Nimeona ni busara kuhifadhi jina lake ila ni tatizo la kawaida sana kwenye picha za vikao vya Ikulu. Ukiacha watu kukatwa, picha ya pili pia imepinda. Hii wangeweza kufix kwenye editing software.
  12. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Angalia picha nyingi za vikao vya Ikulu zina hilo tatizo.
  13. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Tafakari vizuri. Haihitaji kuwa mtaalamu kuona mapungufu ya picha hizo mbili.
  14. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Hili tatizo ni common sana hata kwa wale wapiga picha 'maarufu'. Nimeitoa kwenye Instagram page moja maarufu (nahifadhi jina lao).
  15. Paschal Ruta

    Wapiga picha wa Ikulu kuweni makini na kazi zenu

    Watu mna haraka 😃 5G bado haijafika Bongo kuweni wapole. Picha tayari iko hewani....
Back
Top Bottom