Yaan wew kolo leo hii useme unatusaidia wananchi.
Embu tuache ubabaishaji sisi wananch tunakatiba yetu ambayo kila mwanachama aliye na sifa ataomba kulingana na nafasi zilizopo na anayostahili.
Sisi hatupo tena huko kwenye kulia lia kama unavyosema na ndo maana tumekuja na digital...
Hapo unaweza kuta waliopiga kula kwa pande zote hawafiki hata hata 25000 ila kuna vigogo wametia mpunga wa kutosha
Mfano mtu mmoja akitoa million tano maanake apo ni idadi ya watu 5000.
Je kwenye timu moja wakitoa watu 20. Tayari gape linakuwa kubwa.
Ndege wawil wafananao huruka pamoja na ujue
Katika maishaa kama hamfanani kamwe msijalibu kuluka pamoja.
Huwezi kuwa umeolewa na mtumishi wa Mungu alafu bado unataka kwenda disco eti kisa tu una privancy zako haiwezekani.
Wengi ndiko ambako wanakwenda kufanya ufuska..anasahau kwamba yeye ni mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.