Kwa kweli Afrika sijui niseme nini, sasa hata kule Niger ECOWAS itazidi kupata kigugumizi cha kuwaondoa wale wanajeshi waliopindua serikali halali. Na hakuna ushahidi wanajeshi wataleta neema wananchi wanayodhani wataipata. Ni sawa tu na nchi nyingine kama Kenya, Tanzania nk. ambazo wananchi...
So sad! Inakuwaje lakini jamani mtu unamuajiri mtunza mifugo wakati hujui background yake wala atokako, miezi 5 yote walishindwa kufika kwao kupata ukweli inamaana walikuwa hata hawafahamu mtuhumiwa anatokea wapi. Tuchunguze kwa kina asili ya wale tunaowapa dhamana katika familia zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.