NAOMBA USHAURI KUHUSU TOYOTA LAND CRUISER ZX.
Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER ZX or VX series 202. Ipi bora na bei zake used zikoje kulingana na mileage za around 100,000.
Naomba ushauri pia kuhusu mafuta na spare zake. Shukrani.
Huu ni ujinga wa kiwango cha lami! Unawezaje kuuza gari wakati huwezi kuensure wateja wako wanapata nini? Mimi hayo mengine mimi sijui najua ni Be forward kama wao wanadeal na matapeli huo ni uzembe wao. Hii issue nitaenda nahyo mbali
Yaani wameshatupangia jinsi ya kuwa maskini na hata furaha kidogo tunayotaka kuipata kupitia mpira wanataka pia kutupangia jinsi ya kusherehekea. Hivi unawezaje kulazimisha watu wawe wazalendo?? uzalendo ni kuvaa au kutokuvaa jezi kweli??
Nashukuru mkuu, nitatfuta SBT na TCV nione option zake. Je hao wana ofisi hapa TZ?? Maana Be forward wapo Kariakoo na Posta na baadhi ya mikoa, ila huduma zao ni mbaya sana. Inasikitisha
Ndugu yangu.....nimezunguka gereji nyingi, inaonekana hizi version zinawasumbua mafundi wengi. Kila mtu anasema lake, mpaka nimenunua gear box mpya 800,000 na bado gari haijapona! Ndio maana nikaona labda niende Toyota Tanzania. Kama kuna fundi anaweza niashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.